Achana na vikao ambavyo havina mwelekeo, namaanisha vikao ambayo vinapunguza ama kuharibu utendaji kazi wa wafanyakazi wenzako au kitengo chako
unapokuwa na vikao vingi ni upotezaji wa muda. Kunapokuwa na vikao vingi mara kwa mara utendaji wa kazi unapungua,vikao vingi vinaharibu matokea ya kazi nyingi maofisini. Ili uwe na ufanisi wa kazi, hebu angalia haya mambo tisa yatakayofanya vikao vyako kuwa vifupi.
http://www.lightwaysolutiontz.com/mambo-tisa-ya-kufanya-vikao-vifupi-makazini-vikao-bora
No comments:
Post a Comment